imam hussein as

IQNA

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa harakati ya Imam Hussein (AS) si tukio la kihistoria na kidini tu, bali ni madrasa ya maisha na nyaraka ya msingi ya kusimama dhidi ya dhulma, upotovu na ufisadi.
Habari ID: 3482605   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/09

IQNA – Toleo la 10 la Kongamano la Kimataifa la Kitaalamu kuhusu Ziyara ya Arbaeen limeandaliwa katika Haram takatifu ya Imam Hussein (AS) iliyoko mjini Karbala, Iraq, siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3482598   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/08

IQNA – Mbunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitiza kuwa Arbaeen inawakilisha mwendelezo wa harakati ya Ashura na uhuishaji wa kiapo cha uaminifu kwa malengo matukufu ya Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3482589   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/05

IQNA – Matembezi ya Arbaeen yalifanyika mjini Karbala, ikiwemo katika Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS), kwa mahudhurio yenye hamasa kubwa ya wapenzi na wafuasi wa Bwana wa Mashahidi, Imam Hussein (AS) siku ya Jumanne.
Habari ID: 3482587   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/05

IQNA – Matembezi ya Arbaeen si tukio la kitamaduni pekee wala ibada ya kawaida, bali ni dhihirisho la falsafa ya kina ya ustaarabu na utu inayoyaita nyoyo za watu huru duniani kuelekea kwenye ukweli, uadilifu, na uhuru.
Habari ID: 3482586   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/04

IQNA – Mbali na uwepo wa wanahabari 143 wa ndani na wanaharakati wa vyombo vya habari wanaohabarisha kuhusu matembezi ya Arbaeen, karibu wanahabari 600, wanaharakati wa vyombo vya habari, wapiga picha, na wafanyakazi wa kiufundi kutoka nchi mbalimbali wanashiriki katika kuangazia tukio hili adhimu.
Habari ID: 3482578   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/03

IQNA – Balozi wa Iran nchini Iraq amesema kuwa Mashaya au matembezi ya Arbaeen ya mwaka huu yanaendeshwa kwa utukufu mkubwa zaidi, kwa utaratibu mzuri na ikiwa na changamoto chache ikilinganishwa na miaka iliyopita.
Habari ID: 3482575   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/02

IQNA – Mawkib ya kiutamaduni, yaani kituo cha huduma, iliyoanzishwa na Astan, taasisi inayosimamia Haram tukufu ya Hadhrat Abbas (AS), kwenye njia ya kutoka Najaf hadi Karbala, imepokelewa kwa furaha na mazuwar wa Arbaeen.
Habari ID: 3482574   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/02

IQNA – Afisa mmoja wa Iran amesisitiza umuhimu wa Mawakib za Qur’ani,vituo vya huduma vilivyojengwa kando ya njia ya Arbaeen, katika kukidhi mahitaji ya kiroho na kiutamaduni ya mazuwar
Habari ID: 3482570   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01

IQNA – Makao Makuu ya Usimamizi wa Ziara ya Arbaeen nchini Iraq yalitangaza siku ya Alhamisi kuwa idadi ya mazuwar au wafanyaziara wa kigeni walioingia nchini humo inakaribia kufikia milioni tatu.
Habari ID: 3482559   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01

IQNA – Mkuu wa Makao Makuu ya Kitaifa ya Arbaeen nchini Iran amesisitiza kuwa, matembezi ya kila mwaka ya kiroho ya Arbaeen yana uwezo mkubwa usio na kifani katika kukuza na kueneza utamaduni wa Qur’ani Tukufu miongoni mwa mamilioni ya mazuwaru.
Habari ID: 3482558   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/29

IQNA – Mkuu wa Kitengo cha Habari za Usalama nchini Iraq ametangaza kuwa jumla ya watu 1,813,188 kutoka nchi 172 tofauti wamewasili nchini humo hadi sasa kwa ajili ya kushiriki katika matembezi ya kiroho ya Arbaeen.
Habari ID: 3482554   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/29

IQNA – Mkoa wa Karbala nchini Iraq umetangaza likizo rasmi kuanzia Jumatano hadi Jumatatu kwa ajili ya mapokezi na huduma kwa mazuwari wa Arbaeen.
Habari ID: 3482550   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/28

IQNA – Makao Makuu ya Kituo cha Arbaeen nchini Iran yametangaza kuanza rasmi kwa utumaji wa mazuwari kuelekea Iraq kwa ajili ya msafara wa Arbaeen wa mwaka huu.
Habari ID: 3482538   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/26

IQNA – Zaidi ya Mawakib (vituo vya kutoa huduma bila malipo) 13,500 kutoka mikoa mbalimbali ya Iraq, pamoja na kutoka mataifa ya Kiarabu, Kiislamu na nchi nyingine za kigeni, zimesajiliwa kushiriki katika maonyesho na matembezi ya Arbaeen ya mwaka huu.
Habari ID: 3482534   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/25

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
IQNA – Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, ameangazia undani wa mafungamano ya kiutamaduni na ya kiimani kati ya mataifa ya Iran na Iraq, na kueleza matembezi makubwa ya Arbaeen kuwa ni dhihirisho lisilo na mfano la mafungamano hayo.
Habari ID: 3482531   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/24

TEHRAN – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa hatua zote muhimu zimechukuliwa ili kuhakikisha kuwa ziara ya Arbaeen inafanyika kwa utaratibu, usalama, na utulivu wa hali ya juu.
Habari ID: 3482526   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/22

IQNA – Vituo vyote ya mipakainayoelekea nchini Iraq sasa vinafanya kazi kikamilifu na viko tayari kurahisisha uingiaji na utokaji wa wafanyaziyara wa Arbaeen, amesema afisa mmoja wa Iran.
Habari ID: 3482516   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/20

TEHRAN – Mkuu wa kamati ya kisayansi ya Kongamano la 6 la Kimataifa la “Afya katika Arubaini” ametangaza kuwa jumla ya karatasi za utafiti 500 zimewasilishwa katika sekretarieti ya kongamano hilo.
Habari ID: 3482493   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/15

IQNA – Makao Makuu ya Ziyara ya Arbaeen nchini Iran, katika taarifa yake, yametangaza mipaka ya kutokea na kuingia kwa mazuwar wa kigeni wa Arbaeen ya Imam Hussein (AS) wanaosafiri kwenda Iraq kupitia Iran.
Habari ID: 3482489   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/15