iqna

IQNA

IQNA – Mwanazuoni na mtafiti wa Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kimataifa na wa milele wa harakati ya Imam Hussein (AS), akiuelezea kama ujumbe wa kibinadamu unaowagusa watu wote, bila kujali dini wala asili.
Habari ID: 3480875    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/30

IQNA – Pamoja na kuwasili kwa mimu wa  huzuni katika mwezi wa Muharram, mitaa inayoelekea kwenye makaburi matakatifu ya Imam Hussein (AS) na Hazrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imeanza kushuhudia maombolezo makubwa.
Habari ID: 3480865    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/28

IQNA-Iran imetangaza kaulimbiu rasmi ya matembezi adhimu ya ya Arbaeen mwaka 1447 (2025), ni Inna Ala Al-Ahd" (Tuko Katika Ahadi") ili kuonyesha uaminifu kwa maadili ya Imam Hussein (AS). 
Habari ID: 3480646    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06

IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu wa vyombo vya habari kutoka Italia, uliotembelea taasisi kadhaa chini ya Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS), huko Karbala, Iraq umesifu huduma za kisasa zinazotolewa na idara hiyo katika nyanja mbalimbali, hasa afya na elimu.
Habari ID: 3480622    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02

 IQNA – Mkutano wa wasomaji wa Qur'ani (qaris) na wahifadhi wa Qur'ani kutoka nchi 18 ulifanyika huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480610    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29

IQNA – Auno Saarela, balozi wa Ufini (Finland) nchini Iraq, hivi karibuni alitembelea Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, ambapo alishiriki tajiriba yake ya kuvaa hijabu.
Habari ID: 3480609    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29

IQNA – Kituo cha Karbala cha Utafiti, kilichoko chini ya uangalizi wa Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS), kimetangaza wito wa kuwasilisha makala kwa ajili y Kongamano la 9 la Kimataifa la Kielimu kuhusu Hijja ya Arubaini. 
Habari ID: 3480544    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/15

IQNA – Wanachuo wa kiume na wa kike wa Qur’ani zaidi ya 1,000 wameshiriki katika mpango wa kimataifa wa kuhifadhi na kufasiri Surah Sad uliofanyika mjini Qom, Iran.
Habari ID: 3480499    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/05

IQNA – Kongamano la Kimataifa la "Arbaeen na Utamaduni wa Muqawama" lilianza mjini Kerman, Iran, Jumanne. 
Habari ID: 3480203    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/12

IQNA – Uongozi wa Haram ya Imam Hussein (AS) (Astan) umetangaza Ayatullah Mkuu Abdollah Javadi Amoli, kiongozi mashuhuri wa kidini kutoka Iran, kuwa "Mtu wa Mwaka wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3480149    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/02

Qur'ani Tukufu
IQNA – Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Iraq, imetangaza ratiba kabambe kwa ajili ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Qur'ani mnamo 27 Rajab, 1446 (sawa na Januari 28, 2025). 
Habari ID: 3480077    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/19

IQNA – Mkutano wa mashauriano kati ya Dar ol-Quran wa Haram Takatifu wa Imam Hussein (AS) na wanazuoni wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu jijini Najaf ulifanyika ili kujiandaa kwa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3480026    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10

Ahlul Bayt (AS)
IQNA – Toleo la pili la maonyesho ya maeneo matakatifu ya Shia yatafanyika katika vituo vya Kiislamu na kitamaduni barani Ulaya.
Habari ID: 3479938    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/22

Arbaeen 1446
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa shukurani zake kwa wenye mawkib na taifa la kubwa la Iraq katika kipindi cha kumbukumbu ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3479419    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/11

Arbaeen 1446
IQNA – Mkutano wa nane wa Kimataifa wa Matemberzi ya Arbaeen umefanyika Karbala, Iraq na wanazuoni kutoka nchi 35 wamejadili ufahamu wao kuhusu tukio hilo ambalo mwaka huu limewaleta Pamoja wafanyaziara milioni 21.
Habari ID: 3479354    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30

Arbaeen 1446
IQNA - Hija ya Arbaeen ina uwezo mkubwa wa kuunda vuguvugu la kimataifa dhidi ya dhuluma na ukandamizaji, mwambata wa Utamaduni wa Iran nchini Tanzania amesema.
Habari ID: 3479336    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/27

Harakati za Qur'ani
IQNA – Kikao cha usomaji Qur'ani Tukufu na  Ibtihal kilifanyika katika Msikiti wa Imam Hussein (AS) huko Cairo, mji mkuu wa Misri.
Habari ID: 3479335    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/27

Arbaeen 1446 H
IQNA-Mamilioni ya Waislamu kutoka nchi mbalimbali duniani wanakusanyika kwenye mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq ili kuadhimisha kumbukumbu ya Arubaini au Arbaeen, inayoashiria siku ya 40 baada ya kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW) Imam Hussein (AS), katika ardhi ya Karbala hapo mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3479326    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/25

Arbaeen 1446
IQNA – Mwanazuoni na mtafiti wa Iraq aliangazia nafasi ambayo matembezi ya Arbaeen yanaweza kuwa nayo katika kukuza fikra kuhusu Umahdi yaani itikadi ya Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake)
Habari ID: 3479323    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/24

Arbaeen 1446
IQNA – Jumba la Makumbusho la Al-Kafeel, lenye mafungamano na Haram Takatifu ya Hazrat Abbas (AS), limeweka Mawkib kwenye barabara ya Najaf-Karbala ili kuwahudumia wafanyaziara wa Arbaeen.
Habari ID: 3479301    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/19